Magoli yote | Biashara United 1-3 Dodoma Jiji | NBC Premier League 05/05/2022



Timu ya Dodoma Jiji imeipa kichapo cha mabao 3-1 Biashara United katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Nyamagana, Jijini Mwanza.

Magoli ya Dodoma yamefungwa na Khamis Mcha dakika ya 15 na 35, pamoja na Anuary Jabir dakika ya 48 huku goli pekee la Biashara likifungwa na Omary Chibada dakika ya 25.

Camiseta Sevilla FC 1ª Equipación 2020/2021 Niño Vente Maillot de foot Pas Cher 2018, Maillot de Foot 2018-2019 50% Off.

14 comentarios

Los comentarios están cerrados.