Azam FC U20 3-1 TZ Prison U20 | Highlights Robo fainali | U20 Premier League – 28/06/2023

Tazama mambo yalivyokuwa Azam FC ikiichabanga Tanzania Prisons kwa jumla yamabao 3-1 kwenye mchezo wa robo fainali ya U20 Premier League. Ni mchezo wa Robo Fainali na wafungaji ni Ashraf Kibeku, George Chande na Abdulkarim Kiswanya kwa upande wa Azam FC na Iddy Kichino kwa upande wa Tanzania Prison Camiseta Olympique de Marsella Segunda Equipación… Seguir leyendo Azam FC U20 3-1 TZ Prison U20 | Highlights Robo fainali | U20 Premier League – 28/06/2023

Highlights | Ihefu 1-0 Simba | U20 Premier League 24/06/2023

Goli la Ben Ng’wani dakika ya 67 liliwapa ushindi Ihefu U20 dhidi ya Simba U20 katika mchezo wa ligi kuu ya vijana #U20PremierLeague inayoendelea #AzamComplex , Chamazi. Hii ilikuwa ni mechi ya pili kwa timu zote hatua ya makundi… CAMISETA DE TRAINING CHELSEA FC 2020/2021 STRIKE BLANCO Le shop de football offre le tenue de… Seguir leyendo Highlights | Ihefu 1-0 Simba | U20 Premier League 24/06/2023

Highlights | Tanzania Prisons 3-1 Yanga | U20 Premier League 24/06/2023

Timu ya vijana ya Tanzania Prisons U20 imeibutua Yanga SC U20 mabao 3-1 katika mchezo wa pili wa kundi B ligi kuu ya vijana U20 inayoendelea #AzamComplex , Chamazi magoli ya Tanzania Prisons yametoka kwa Emmanuel John Mbogo, Kelvin Mbonde Sengati, Iddy Juma Kichindo na goli la kufutia machozi la Yanga limetoka kwa Ladius Lucas… Seguir leyendo Highlights | Tanzania Prisons 3-1 Yanga | U20 Premier League 24/06/2023

Highlights | KMC FC 1-1 Simba SC | U20 Premier League 13/03/2021

KMC VS SIMBA: Timu za vijana Simba na KMC zimetoshana nguvu kwa kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ligi ya vijana chini ya miaka 20 uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Goli la Simba limefungwa na Andrew Michael huku la KMC likifungwa na Anthony Likass. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya… Seguir leyendo Highlights | KMC FC 1-1 Simba SC | U20 Premier League 13/03/2021

Highlights | Yanga SC 2-0 JKT Tanzania | U20 Premier League 12/06/2021

YANGA VS JKT U20: Timu vijana ya Yanga u20 imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa ligi kuu ya vijana #U20PremierLeague hatua ya nane bora inayoendelea kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazj. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: ►INSTAGRAM: ►TWITTER: ►FACEBOOK: ►WEBSITE: Camiseta de la 2ª Equipación del GETAFE… Seguir leyendo Highlights | Yanga SC 2-0 JKT Tanzania | U20 Premier League 12/06/2021

Magoli | Yanga 2-0 JKT Tanzania | U20 Premier League

YANGA VS JKT U20: Timu vijana ya Yanga u20 imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa ligi kuu ya vijana #U20PremierLeague hatua ya nane bora inayoendelea kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazj. Magoli ya Yanga yamefungwa na Yohanda Ndushi na Abby Mikimba. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: ►INSTAGRAM:… Seguir leyendo Magoli | Yanga 2-0 JKT Tanzania | U20 Premier League

Magoli na penati | Mtibwa Sugar 1-1 Geita Gold (Pen: 4-2) | U20 Premier League 13/07/2022

ROBO FAINALI: Mtibwa Sugar U20 imetinga nusu fainali baada ushindi wa penati 4-2 dhidi ya Geita Gold U20 kufuatia sare ya bao 1-1 katika dakika 90 za mchezo wa robo fainali ligi kuu ya vijana #U20PremierLeague Haya hapa magoli yote mawili na mikwaju minane ya penati, Mtibwa wakishinda penati zao zote nne huku Geita wakikosa… Seguir leyendo Magoli na penati | Mtibwa Sugar 1-1 Geita Gold (Pen: 4-2) | U20 Premier League 13/07/2022

Magoli | Azam FC 3-1 Tanzania Prisons | U20 Premier League 09/07/2022

LIGI KUU YA VIJANA: Hivi ndivyo vijana wa Azam FC U20 walivyowaadhibu wenzao wa Tanzania Prisons kwa kichapo cha mabao 3-1 katika mchezo wa ligi kuu ya vijana #U20Premierleague inayoendelea kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Kipigo hiki kilikuwa ni tiketi kwa Azam FC kutinga robo fainali huku Tanzania Prisons wakiaga mashindano. CAMISETA PORTUGAL 2020… Seguir leyendo Magoli | Azam FC 3-1 Tanzania Prisons | U20 Premier League 09/07/2022